Zaburi 42:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Mbona nasononeka hivyo moyoni?Kwa nini nahangaika hivyo?Nitamtumainia Mungu,maana nitamsifu tena Mungu,aliye msaada wangu na Mungu wangu.

Zaburi 42

Zaburi 42:8-11