Zaburi 4:7-8 Biblia Habari Njema (BHN)

7. Lakini mimi umenijalia furaha kubwa moyoni,kuliko ya hao walio na divai na ngano kwa wingi.

8. Nalala na kupata usingizi kwa amani;ee Mwenyezi-Mungu, wewe peke yako waniweka salama.

Zaburi 4