12. Je, watamani kufurahia maisha,kuishi maisha marefu na kufurahia mema?
13. Basi, acha kusema mabaya,na kuepa kusema uongo.
14. Jiepushe na uovu, utende mema;utafute amani na kuizingatia.
15. Mwenyezi-Mungu huwaangalia waadilifu,na kusikiliza malalamiko yao;