Zaburi 22:11-13 Biblia Habari Njema (BHN)

11. Usikae mbali nami, kwani taabu imekaribia;wala hakuna wa kunisaidia.

12. Maadui wengi wanizunguka kama fahali;wamenisonga kama fahali wakali wa Bashani!

13. Wanafunua vinywa vyao kama simba,tayari kushambulia na kurarua.

Zaburi 22