11. Hata kama wakipanga maovu dhidi yako,kama wakitunga mipango ya hila,kamwe hawataweza kufaulu.
12. Kwa maana wewe utawatimua mbio,utawalenga usoni kwa mishale yako.
13. Utukuzwe ee Mwenyezi-Mungu kwa sababu ya nguvu yako!Tutaimba na kuusifu uwezo wako.