Zaburi 20:7-9 Biblia Habari Njema (BHN)

7. Wengine hujigamba kwa magari ya vita;wengine hujigamba kwa farasi wao.Lakini sisi twajivunia Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu.

8. Hao watajikwaa na kuanguka;lakini sisi tutainuka na kusimama imara.

9. Umjalie mfalme ushindi, ee Mwenyezi-Mungu;utujibu wakati tunapokuomba.

Zaburi 20