7. Mfalme asema: “Nitatangaza azimio la Mwenyezi-Mungu.Mungu aliniambia:‘Wewe ni mwanangu,mimi leo nimekuwa baba yako.
8. Niombe nami nitakupa mataifa yawe urithi wako,na dunia nzima kuwa mali yako.
9. Utawaponda kwa fimbo ya chuma;utawavunja kama chungu cha mfinyanzi!’”