1. Fanya haraka, ee Mwenyezi-Mungu!Watu wema wamekwisha;waaminifu wametoweka miongoni mwa watu.
2. Kila mmoja humdanganya mwenzake,husema kwa kudanganya na kwa moyo wa unafiki.
3. Ee Mwenyezi-Munguuikomeshe hiyo midomo ya udanganyifu,na ndimi hizo zinazojigamba kupindukia.