Zaburi 1:4-6 Biblia Habari Njema (BHN)

4. Lakini waovu sivyo walivyo;wao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.

5. Kwa hiyo watu waovu wataanguka wakati wa hukumu,wenye dhambi hawatakaa na kusanyiko la waadilifu.

6. Maana Mwenyezi-Mungu huziongoza njia za waadilifu;lakini njia za waovu zitaishia katika maangamizi.

Zaburi 1