Yoshua 9:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini viongozi wa Waisraeli wakaiambia jumuiya ya watu wao, “Kwa vile tumewaapia kwa jina la Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, sasa hatuwezi kuwadhuru.

Yoshua 9

Yoshua 9:10-24