Yoshua 6:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, wakauchoma moto mji wa Yeriko na kila kitu kilichokuwako isipokuwa fedha, dhahabu, vyombo vya shaba na vya chuma; hivyo viliwekwa katika hazina ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Yoshua 6

Yoshua 6:20-27