Yoshua 6:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku ya saba, waliamka alfajiri na mapema, wakauzunguka mji huo mara saba kwa namna ileile. Ilikuwa ni siku hiyo tu ambayo waliuzunguka mji huo mara saba.

Yoshua 6

Yoshua 6:7-25