Yoshua 5:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo ilikuwa ni watoto wa watu hao ambao Mwenyezi-Mungu aliwakuza badala yao, hao ndio Yoshua aliwatahiri, kwani hawakuwa wametahiriwa wakati ule walipokuwa safarini jangwani.

Yoshua 5

Yoshua 5:6-13