Yoshua 24:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye Balaki mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu, akaja na kuwashambulia Waisraeli. Akamwalika Balaamu mwana wa Beori aje kuwalaani nyinyi.

Yoshua 24

Yoshua 24:5-13