Yoshua 24:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye Eleazari, mwana wa Aroni, akafariki na kuzikwa Gibea, mji ambao alikuwa amepewa mwanawe Finehasi katika nchi ya milima ya Efraimu.

Yoshua 24

Yoshua 24:25-33