Yoshua 22:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wa makabila ya Reubeni na Gadi wakaiita ile madhabahu ya “Ushuhuda,” kwani walisema, “Madhababu hii ni ushahidi wetu kwamba Mwenyezi-Mungu ndiye Mungu.”

Yoshua 22

Yoshua 22:31-34