Yoshua 21:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wa ukoo wa Gershoni walipewa kwa kura miji kumi na mitatu katika maeneo ya makabila ya Isakari, Asheri, Naftali na katika eneo la nusu ya kabila la Manase huko Bashani.

Yoshua 21

Yoshua 21:1-13