Yoshua 21:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipokuwa huko Shilo katika nchi ya Kanaani viongozi wa koo za Walawi wakawaendea kuhani Eleazari na Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa jamaa za makabila yote ya Waisraeli,

Yoshua 21

Yoshua 21:1-4