Yoshua 2:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wale watu waliotumwa na mfalme wakawafuatia kwa kupitia njia iliyokuwa imeelekea kwenye vivuko vya Yordani. Na mara tu walipoondoka mjini, lango la mji likafungwa.

Yoshua 2

Yoshua 2:3-14