Yoshua 2:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Akawaambia: “Nendeni mlimani mkajifiche huko ili wanaowafuatia wasiwakute. Kaeni huko kwa muda wa siku tatu, mpaka wanaowafuatia watakapokuwa wamerudi mjini, kisha mwende zenu.”

Yoshua 2

Yoshua 2:14-17