40. Kura ya saba ilizipata koo za kabila la Dani.
41. Eneo la nchi yao lilikuwa na miji ya Sora, Eshtaoli, Ir-shemeshi
42. Shaalabini, Aiyaloni, Yithla,
43. Eloni, Timna, Ekroni
44. Elteke, Gibethoni, Baalathi,
45. Yehudi, Bene-beraki, Gath-rimoni,
46. Me-yarkoni na Rakoni na nchi iliyokuwa karibu na Yopa.