Yoshua 19:40-46 Biblia Habari Njema (BHN)

40. Kura ya saba ilizipata koo za kabila la Dani.

41. Eneo la nchi yao lilikuwa na miji ya Sora, Eshtaoli, Ir-shemeshi

42. Shaalabini, Aiyaloni, Yithla,

43. Eloni, Timna, Ekroni

44. Elteke, Gibethoni, Baalathi,

45. Yehudi, Bene-beraki, Gath-rimoni,

46. Me-yarkoni na Rakoni na nchi iliyokuwa karibu na Yopa.

Yoshua 19