Yoshua 18:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Huko, mpaka uligeuka kwenda kaskazini kuelekea En-shemeshi, ukapitia Gelilothi unaokabili mwinuko wa Adumimu na kuteremka hadi kwenye jiwe la Bohani mwana wa Reubeni.

Yoshua 18

Yoshua 18:12-25