Yoshua 18:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Kutoka huko, mpaka wake ulikwenda kusini kuelekea Luzu kupitia upande wa kusini wa Luzu (yaani Betheli) hadi Ataroth-adari, kwenye mlima ulioko kusini mwa Beth-horoni ya Chini.

Yoshua 18

Yoshua 18:11-19