Yoshua 16:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Waefraimu hawakuwafukuza Wakanaani walioishi Gezeri. Wakanaani hao waliendelea kukaa miongoni mwa watu wa Efraimu mpaka leo, wakiwa watumwa wa kuwafanyia kazi za kulazimishwa.

Yoshua 16

Yoshua 16:4-10