Yoshua 14:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Wazawa wa Yosefu walikuwa makabila mawili: Manase na Efraimu. Kabila la Lawi halikupewa sehemu yoyote ya nchi, ila miji tu ya kuishi na sehemu za malisho kwa ajili ya wanyama wao na riziki zao.

Yoshua 14

Yoshua 14:1-6