Yoshua 13:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Eneo lao lilikuwa kuanzia Aroeri ukingoni mwa bonde la Arnoni na mji ule ulio katikati ya bonde, na nchi ile yote ya tambarare tangu Medeba mpaka Diboni,

Yoshua 13

Yoshua 13:6-13