Yoshua 13:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Mpaka wa nchi ya kabila la Reubeni upande wa magharibi ulikuwa mto Yordani. Miji na maeneo yaliyotajwa hapa ndiyo sehemu waliyopewa watu wa koo za kabila la Reubeni.

Yoshua 13

Yoshua 13:16-30