Yoshua 11:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Hakuna mji ambao ulifanya mapatano ya amani na Waisraeli, isipokuwa Gibeoni tu, ambamo waliishi Wahivi. Waisraeli waliiteka miji mingine yote kwa kupigana vita.

Yoshua 11

Yoshua 11:12-21