Yoshua 11:17 Biblia Habari Njema (BHN)

aliwateka na kuwaua wafalme wote wa nchi hizo kuanzia mlima uliokuwa mtupu wa Halaki karibu na Seiri mpaka Baal-gadi katika bonde la Lebanoni, kusini ya mlima Hermoni.

Yoshua 11

Yoshua 11:15-23