Yoshua 10:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku hiyo Yoshua alipouteka mji wa Makeda, alimuua mfalme wake na wakazi wake wote bila kumbakiza hata mtu mmoja. Alimtendea mfalme wa Makeda kama vile alivyomtendea mfalme wa Yeriko.

Yoshua 10

Yoshua 10:21-33