Yoshua 10:15-18 Biblia Habari Njema (BHN)

15. Kisha Yoshua akarudi kambini huko Gilgali pamoja na Waisraeli wote.

16. Wale wafalme watano walikimbia na kujificha katika pango la Makeda.

17. Yoshua akapata habari kwamba wafalme hao wamegunduliwa walikojificha katika pango la Makeda.

18. Yoshua akasema, “Vingirisheni mawe makubwa mlangoni mwa pango na kuweka walinzi hapo.

Yoshua 10