Yona 4:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo Mungu akamwambia, “Mmea huu uliota na kukua kwa usiku mmoja, na usiku uliofuata ukanyauka. Wewe hukuufanyia kitu chochote, wala hukuuotesha. Mbona unauhurumia?

Yona 4

Yona 4:5-11