Yohane 5:4 Biblia Habari Njema (BHN)

maana mara kwa mara malaika alishuka majini nyakati fulani na kuyatibua. Mtu yeyote aliyekuwa wa kwanza kuingia majini baada ya maji kutibuliwa, alipona ugonjwa wowote aliokuwa nao.]

Yohane 5

Yohane 5:1-6