Basi, hao askari wakashauriana: “Tusiipasue, ila tuipigie kura itakuwa ya nani.” Jambo hilo lilifanyika ili yatimie Maandiko Matakatifu yasemayo:“Waligawana mavazi yangu,na nguo yangu wakaipigia kura.”Basi, ndivyo walivyofanya hao askari.