Yohane 11:44 Biblia Habari Njema (BHN)

Huyo aliyekuwa amekufa akatoka nje, huku amefungwa sanda miguu na mikono, na uso wake umefunikwa. Yesu akawaambia, “Mfungueni, mkamwache aende zake.”

Yohane 11

Yohane 11:37-46