Yobu 8:16-19 Biblia Habari Njema (BHN)

16. Jua litokapo yeye hustawi;hueneza matawi yake bustanini mwake.

17. Mizizi yake hujisokotasokota kwenye mawenaye aenda kuchunguza ndani ya mwamba.

18. Lakini akiangamizwa kutoka makao yake,hayo yatamkana yakisema: ‘Sijapata kukuona.’

19. Tazama, huo ndio mwisho wa furaha ya mtu huyo,na mahali pao patachipua wengine.

Yobu 8