16. Jua litokapo yeye hustawi;hueneza matawi yake bustanini mwake.
17. Mizizi yake hujisokotasokota kwenye mawenaye aenda kuchunguza ndani ya mwamba.
18. Lakini akiangamizwa kutoka makao yake,hayo yatamkana yakisema: ‘Sijapata kukuona.’
19. Tazama, huo ndio mwisho wa furaha ya mtu huyo,na mahali pao patachipua wengine.