Yobu 8:14-16 Biblia Habari Njema (BHN)

14. Tegemeo lao huvunjikavunjika,tumaini lao ni utando wa buibui.

15. Wanaegemea nyumba yao lakini haitasimama,huishikilia lakini haidumu.

16. Jua litokapo yeye hustawi;hueneza matawi yake bustanini mwake.

Yobu 8