Yobu 7:12-14 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Je, mimi ni bahari au dude la baharinihata uniwekee mlinzi?

13. Nikisema, ‘Kitanda kitanipumzisha,malazi yangu yatanipunguzia malalamiko yangu,’

14. wewe waja kunitia hofu kwa ndoto,wanitisha kwa kuniletea maono;

Yobu 7