Yobu 5:12-15 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Huvunja mipango ya wenye hila,matendo yao yasipate mafanikio.

13. Huwanasa wenye hekima kwa werevu wao,mipango ya wajanja huikomesha mara moja.

14. Hao huona giza wakati wa mchana,adhuhuri hupapasapapasa kama vile usiku.

15. Lakini Mungu huwaokoa yatima wasiuawe,huwanyakua fukara mikononi mwa wenye nguvu.

Yobu 5