Yobu 5:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. “Ita sasa, uone kama kuna wa kukuitikia.Ni yupi kati ya watakatifu utakayemwita?

2. Ama kweli hangaiko humuua mpumbavu,na wivu humwangamiza mjinga.

3. Nimepata kuona mpumbavu akifana,lakini ghafla nikayalaani makao yake.

Yobu 5