35. Je, wewe ukiamuru umeme umulike,utakujia na kusema: ‘Nipo hapa?’
36. Ni nani aliyemjulisha kwarara kujaa kwa mto Niliau aliyemwambia jogoo kwamba mvua inakuja?
37. Nani mwenye akili ya kuweza kuhesabu mawingu,au kuinamisha viriba vya maji huko mbinguni?