15. Je, wajua jinsi Mungu anavyovipa amri yake,na kufanya umeme wa mawingu yake ungae?
16. Je, wajua jinsi mawingu yanavyoelea angani?Ndizo kazi za ajabu za yule aliye mkamilifu wa maarifa!
17. Wewe wajiona umevaa nguo za joto sana,wakati upepo wa kusi unaivamia nchi.
18. Je, waweza, kuzitandaza mbingu kama yeyezikawa ngumu kama kioo cha shaba?
19. Tufundishe tutakachomwambia Mungu;maana hoja zetu si wazi, tumo gizani.
20. Je, nani anathubutu kumwambia: Nataka kuongea?Nani aseme apate balaa?