Yobu 36:13-16 Biblia Habari Njema (BHN)

13. “Wasiomcha Mungu hupenda kukasirika,hawamlilii msaada anapowabana.

14. Hufa wangali bado vijana,maisha yao huisha kama ya walawiti.

15. Lakini Mungu huwaokoa wanyonge kwa unyonge waohutumia shida zao kuwafumbua macho.

16. Mungu alikuvuta akakutoa taabuni,akakuweka mahali pa wasaa pasipo shida,na mezani pako akakuandalia vinono.

Yobu 36