Yobu 35:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kisha Elihu akaendelea kusema:

2. “Je, Yobu, unaona jambo hili ni sawana kufikiri kinyume cha Mungu

3. ukiuliza: ‘Nimepata faida ganikama sikutenda dhambi?Nimefaidika kuliko kama ningalitenda dhambi?’

Yobu 35