Yobu 33:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. “Sasa, Yobu, sikiliza hoja yangu;sikiliza maneno yangu yote.

2. Tazama, nafumbua kinywa changu,naam, ulimi wangu utasema.

3. Nitasema kadiri ya unyofu wa moyo wangu;ninayoyajua nitayasema kwa uaminifu.

Yobu 33