Yobu 31:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. “Nimejifunga rasmi mimi mwenyewe,macho yangu yasimtazame msichana kwa tamaa.

2. Au je, nangojea nini kutoka kwa Mungu aliye juu?Mungu Mwenye Nguvu ameniwekea kitu gani?

Yobu 31