Yobu 30:12-14 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Genge la watu lainuka kunishtakilikitafuta kuniangusha kwa kunitegea.Linanishambulia ili niangamie.

13. Watu hao hukata njia yanguhuchochea balaa yangu,na hapana mtu wa kuwazuia.

14. Wanakuja kama kwenye ufa mkubwa,na baada ya shambulio wanasonga mbele.

Yobu 30