10. Mwovu hawezi kufurahi mbele ya Mungu Mwenye Nguvu;hataweza kudumu akimwomba Mungu.
11. Nitawafundisheni kitendo cha Mungu kilivyo,sitawaficheni mipango yake Mungu Mwenye Nguvu.
12. Lakini nyinyi mnajua jambo hilo vizuri sana!Mbona, basi mnaongea upuuzi?