Yobu 26:10-13 Biblia Habari Njema (BHN)

10. Amechora duara juu ya uso wa bahari,penye mpaka kati ya mwanga na giza.

11. Mungu akitoa sauti ya kukemea,nguzo za mbingu hutetemeka na kustaajabu.

12. Kwa nguvu zake aliituliza bahari;kwa maarifa yake alimwangamiza dude Rahabu.

13. Kwa pumzi yake aliisafisha anga;mkono wake ulilichoma joka lirukalo.

Yobu 26