18. “Lakini mwasema:‘Waovu huchukuliwa haraka na mafuriko ya maji,makao yao hubaki kuwa nchi iliyolaaniwa;hakuna aendaye kwenye mashamba yao ya mizabibu.’
19. Kama theluji inavyoyeyuka katika joto na ukamendivyo Kuzimu kunavyowanyakua waovu.
20. Maana mzazi wao huwasahau watu hao,hakuna atakayewakumbuka tena.Ndivyo uovu ulivyovunjwa kama mti.
21. “Waovu huwadhulumu wanawake wasiopata watoto.Wala hawawatendei wema wanawake wajane.